Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

WIZARA YA ULINZI NA JESHI LA KUJENGA TAIFA

Home

Waziri wa Ulinzi na JKT, Mhe. Shamsi Vuai Nahodha akila kiapo cha utii kwa Kulitumikia Taifa katika Wadhifa wake mpya, Ikulu DSM Mei 7, 2012. Picha na Cpl Lazarous Masanja wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini<span style=\"font-size: 10pt; line-height: 115%; font-family: "Century Gothic","sans-serif";\" lang=\"EN-US\"> </span><span style=\"font-size: 10pt; line-height: 115%; font-family: "Century Gothic","sans-serif";\" lang=\"EN-US\"> </span>
Raisi wa Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania Mhe. Dr. Jakaya Mrisho Kikwete (wa saba kutoka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Mawaziri na Manaibu Mawaziri<span style=\"font-size: 10pt; line-height: 115%; font-family: "Century Gothic","sans-serif";\" lang=\"EN-US\"> </span> Wapya mara baada ya kuwaapisha. Kulia kwake ni Makamu wa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dr. Mohammed Gharib Bilal na kushoto kwake ni Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda, Ikulu DSM. Picha na Cpl Lazarous Masanja<span style=\"font-size: 10pt; line-height: 115%; font-family: "Century Gothic","sans-serif";\" lang=\"EN-US\"> </span><span style=\"font-size: 10pt; line-height: 115%; font-family: "Century Gothic","sans-serif";\" lang=\"EN-US\"> </span>
Waziri wa Ulinzi na JKT, Mhe. Nahodha (wa saba kutoka kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na wawakilishi wa Wizara ya Ulinzi na JKT katika sherehe za kuapishwa Mawaziri. Kutoka kushoto ni Maj Gen Mndeme (CPD); Maj Gen Omar (Navy Comd); Brig Gen Killo (A/COT); Eng Iyombe (Naibu Katibu), Lt Gen Shimbo (C of S) na Mama Nahodha. Kushoto kwa Mhe. Waziri ni Gen Mwamunyange (Mkuu wa Majeshi); Ndg. Masima (Katibu Mkuu); Brig Gen Mhuga (Mkuu wa Jeshi la Akiba); Ndg. Ngayonga (CPP); Brig Gen Msemwa (CMD); Ndg. Mrema (CICA); Ndg. Kera (CAP) na Col Luwongo (MA1 CDF), Ikulu DSM. Picha na Cpl  Lazarous Masanja<span style=\"font-size: 10pt; line-height: 115%; font-family: "Century Gothic","sans-serif";\" lang=\"EN-US\"> </span>
Kushoto ni aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na JKT (sasa Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Mhe. Dr. Hussein Ali Mwinyi (Mb) akiwa pamoja na Waziri mpya wa Ulinzi na JKT, Mhe. Shamsi Vuai Nahodha (Mb) muda mfupi kabla ya kuapishwa kushika nyadhifa zao mpya, Ikulu DSM. Picha na Cpl Lazarous Masanja.<span style=\"font-size: 10pt; line-height: 115%; font-family: "Century Gothic","sans-serif";\" lang=\"EN-US\"> </span><span style=\"font-size: 10pt; line-height: 115%; font-family: "Century Gothic","sans-serif";\" lang=\"EN-US\"> </span>
Mhe. Dr. Hussein Ali Mwinyi (Mb) aliyesimama kulia akisalimiana na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi, Profesa Anna Tibaijuka. Kushoto ni Waziri mpya wa Ulinzi na JKT, Mhe. Shamsi Vuai Nahodha (Mb) muda mfupi kabla ya kuapishwa kushika nyadhifa zao mpya. Picha na Cpl Lazarous Masanja<span style=\"font-size: 10pt; line-height: 115%; font-family: "Century Gothic","sans-serif";\" lang=\"EN-US\"> </span><span style=\"font-size: 10pt; line-height: 115%; font-family: "Century Gothic","sans-serif";\" lang=\"EN-US\"> </span><span style=\"font-size: 10pt; line-height: 115%; font-family: "Century Gothic","sans-serif";\" lang=\"EN-US\"> </span>
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu akiongea na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ulinzi na JKT Ndg. Job Masima alipotembelea ofisini kwake hivi karibuni<span style=\"font-size: 10pt; line-height: 115%; font-family: "Century Gothic","sans-serif";\" lang=\"EN-US\"> </span><span style=\"font-size: 10pt; line-height: 115%; font-family: "Century Gothic","sans-serif";\" lang=\"EN-US\"> </span><span style=\"font-size: 10pt; line-height: 115%; font-family: "Century Gothic","sans-serif";\" lang=\"EN-US\"> </span>
Mkuu wa Wilaya ya Mbinga Kanali (Mstaafu) ER Mjengwa akiongea na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ulinzi na JKT Ndg. Job Masima pamoja na ujumbe wake walipotembelea Wilayani humo ili kujionea hali halisi ya mpaka wa Tanzania na Msumbiji, Tanzania na Malawi.<span style=\"font-size: 10pt; line-height: 115%; font-family: "Century Gothic","sans-serif";\" lang=\"EN-US\"> </span><span style=\"font-size: 10pt; line-height: 115%; font-family: "Century Gothic","sans-serif";\" lang=\"EN-US\"> </span>
Katibu Mkuu  wa Wizara ya Ulinzi na JKT Ndg. Job  Masima; Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Ndg. Odo Kilyani; Brig Gen Mlowezi na Brigedi Kamanda, Kanali Chacha wakiwa kando ya Ziwa Nyasa ambapo Tanzania inapakana na Msumbiji na Malawi<span style=\"font-size: 10pt; line-height: 115%; font-family: "Century Gothic","sans-serif";\" lang=\"EN-US\"> </span><span style=\"font-size: 10pt; line-height: 115%; font-family: "Century Gothic","sans-serif";\" lang=\"EN-US\"> </span>
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ulinzi na JKT Ndg. Job Masima akipata taarifa kutoka kwa Mkuu wa Kitengo cha hifadhi ya Chakula Kanda ya Kusini, Songea Ndg. Morgan Mwaipyana jinsi JWTZ lilivyofanya kazi kukusanya mahindi mkoani Ruvuma na jinsi zoezi la kusafirisha mahindi kwenda Makambako litakavyoendeshwa<span style=\"font-size: 10pt; line-height: 115%; font-family: "Century Gothic","sans-serif";\" lang=\"EN-US\"> </span><span style=\"font-size: 10pt; line-height: 115%; font-family: "Century Gothic","sans-serif";\" lang=\"EN-US\"> </span>
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ulinzi na JKT Ndg. Job  Masima akizungumza na wakazi wa Mbambay, kulia kwake ni CLE Brig Gen Mlowezi na kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga, Ndg. Odo Kilyani<span style=\"font-size: 10pt; line-height: 115%; font-family: "Century Gothic","sans-serif";\" lang=\"EN-US\"> </span><span style=\"font-size: 10pt; line-height: 115%; font-family: "Century Gothic","sans-serif";\" lang=\"EN-US\"> </span>
Kushoto ni Shehena ya mahindi yanayosubiriwa kusafirishwa katika maghala ya Songea. Kulia ni Shehena ya mahindi yakiwa nje ya maghala yakisubiri kusafirishwa.<span style=\"font-size: 10pt; line-height: 115%; font-family: "Century Gothic","sans-serif";\" lang=\"EN-US\"> </span><span style=\"font-size: 10pt; line-height: 115%; font-family: "Century Gothic","sans-serif";\" lang=\"EN-US\"> </span>
0.1
0.2
0.3
0.4
<span style=\"font-size: 10pt; line-height: 115%; font-family: "Century Gothic","sans-serif";\" lang=\"EN-US\">Mwenyekiti wa Baraza la wafanyakazi na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ulinzi na JKT Ndugu Job D Masima akifungua Kikao cha baraza hilo lililofanyika katika ukumbi wa Hilux hotel Morogoro tarehe 8/3/2012</span><span style=\"font-size: 10pt; line-height: 115%; font-family: "Century Gothic","sans-serif";\" lang=\"EN-US\"> </span><span style=\"font-size: 10pt; line-height: 115%; font-family: "Century Gothic","sans-serif";\" lang=\"EN-US\"> </span>
<span style=\"font-size: 10pt; line-height: 115%; font-family: "Century Gothic","sans-serif";\" lang=\"EN-US\">Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zikitolewa katika baraza hilo lilifanyika Hilux Hotel, Morogoro mnamo tarehe 08/03/2012</span><span style=\"font-size: 10pt; line-height: 115%; font-family: "Century Gothic","sans-serif";\" lang=\"EN-US\"> </span><span style=\"font-size: 10pt; line-height: 115%; font-family: "Century Gothic","sans-serif";\" lang=\"EN-US\"> </span><span style=\"font-size: 10pt; line-height: 115%; font-family: "Century Gothic","sans-serif";\" lang=\"EN-US\"> </span>
<span style=\"font-size: 10pt; line-height: 115%; font-family: "Century Gothic","sans-serif";\" lang=\"EN-US\">Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wakiwa katika picha ya pamoja na Mwenyekiti wa Baraza hilo Bw. Job D Masima katikati waliokaa na katibu wa baraza Bi.Illuminata Matindi (wa nne kulia)katika baraza hilo lililofanyika Hilux Hotel, Morogoro mnamo tarehe 08/03/2012</span><span style=\"font-size: 10pt; line-height: 115%; font-family: "Century Gothic","sans-serif";\" lang=\"EN-US\"> </span>
<span style=\"font-size: 10pt; line-height: 115%; font-family: "Century Gothic","sans-serif";\" lang=\"EN-US\">Waziri wa Ulinzi na JKT Mhe. Dkt Husein Ally Mwinyi na Balozi wa Ujerumani Nchini Mhe. Klause Peter Brandes wakikata utepe kuzindua rasmi hospitali ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (Mirambo Military Hospital) tarehe 6/3/2012 iliyojengwa mkoani Tabora kwa ushirikiano na Ujerumani</span><span style=\"font-size: 10pt; line-height: 115%; font-family: "Century Gothic","sans-serif";\" lang=\"EN-US\"> </span><span style=\"font-size: 10pt; line-height: 115%; font-family: "Century Gothic","sans-serif";\" lang=\"EN-US\"> </span>
<span style=\"font-size: 10pt; line-height: 115%; font-family: "Century Gothic","sans-serif";\" lang=\"EN-US\">Waziri wa Ulinzi na JKT Mhe. Dkt Husein Ally Mwinyi na Balozi wa Ujerumani Nchini Mhe. Klause Peter Brandes wakiwa katika picha ya Pamoja na Uongozi wa Mkoa wa Tabora na Maofisa Wakuu wa JWTZ walioshiriki katika uzinduzi wa Hospitali ya Jeshi Mirambo mkoani Tabora</span><span style=\"font-size: 10pt; line-height: 115%; font-family: "Century Gothic","sans-serif";\" lang=\"EN-US\"> </span><span style=\"font-size: 10pt; line-height: 115%; font-family: "Century Gothic","sans-serif";\" lang=\"EN-US\">tarehe 6/3/2012</span><span style=\"font-size: 10pt; line-height: 115%; font-family: "Century Gothic","sans-serif";\" lang=\"EN-US\"> </span>
<span style=\"font-size: 10pt; line-height: 115%; font-family: "Century Gothic","sans-serif";\" lang=\"EN-US\">Sehemu ya Majengo (Wodi) ya Hospitali ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania Milambo Mkoani Tabora </span><span style=\"font-size: 10pt; line-height: 115%; font-family: "Century Gothic","sans-serif";\" lang=\"EN-US\"> </span>
Waziri wa Ulinzi na JKT, Mhe. Shamsi Vuai Nahodha akila kiapo cha utii kwa Kulitumikia Taifa katika Wadhifa wake mpya, Ikulu DSM Mei 7, 2012. Picha na Cpl Lazarous Masanja wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
01/21 
start stop bwd fwd